emblem

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita
(GEUWASA)

Habari

KUNDO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA.

Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo A. Mathew ametembelea na kukagua utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 kwa Mji wa Geita kutoka katika Chanzo cha Maji cha...

ZIARA YA KAMATI YA USALAMA WILAYA YA MBOGWE KWENYE MRADI WA MAJI MASUMBWE.

Kamati ya Usalama Wilaya ya Mbogwe ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambae ni Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Mhe. Sakina Mohamed, imetembelea Mradi wa Uboreshaji wa Hudum...

KAWAIDA ATEMBELEA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA.

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg. Mohamed Kawaida ametembelea Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita. Ndg. Kawaida akiwa ameamb...

SALAMU ZA PONGEZI.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa GEUWASA tunakupongeza Bi. Rose Zacharia Ambrose kwa kuaminiwa na kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta...

KIKAO CHA BODI KUU YA WAKURUGENZI ROBO YA PILI MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Leo tarehe 06/02/2026 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bi. Patricia Sam Kampambe ameongoza kikao cha Bodi Kuu ya Wakurugenzi Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 202...

UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KATORO – BUSERESERE

Wataalam wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wakiendelea na kazi ya kuboresha miundombinu ya Maji ili kuhakikisha huduma ya maji inakuw...

UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KATORO - BUSERESERE

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) Mhandisi Frank Changawa akiambatana na Meneja uzalishaji na usambazi Maji Mha...

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA MAJI.

Wataalam wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wamekamilisha matengenezo ya bomba ya Inch 6 iliyokuwa imepata hitilafu eneo la sheli ya P...