emblem

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita
(GEUWASA)

Habari

UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KATORO – BUSERESERE

Wataalam wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wakiendelea na kazi ya kuboresha miundombinu ya Maji ili kuhakikisha huduma ya maji inakuw...

UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KATORO - BUSERESERE

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) Mhandisi Frank Changawa akiambatana na Meneja uzalishaji na usambazi Maji Mha...

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA MAJI.

Wataalam wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wamekamilisha matengenezo ya bomba ya Inch 6 iliyokuwa imepata hitilafu eneo la sheli ya P...

ZIARA YA WAJUMBE WA BODI MENEJIMENTI NA WATUMISHI WA GEUWASA KATIKA MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA BABATII

Ziara ya Wajumbe wa Bodi Menejimenti na Watumishi wa GEUWASA walipotembelea Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Babati ( BAWASA ) kwa ajili ya kubadilisha...

Zoezi la ulazaji wa bomba kuu la kupeleka Maji katika Tenki la Senga lenye ujazo wa lita 700,000 linaendelea

Zoezi la ulazaji wa bomba kuu la kupeleka Maji katika Tenki la Senga lenye ujazo wa lita 700,000 linaendelea

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA MAJI COMPAUND

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) Mhandisi Frank Changawa akiambatana na Wataalamu wa GEUWASA pamoja na Mwenyekit...

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MJI MHE.MHANDISI KUNDO KATIKA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 MKOA WA GEITA.

Naibu Waziri wa Maji Mhe.Mhandisi kundo A.Mathew akikagua utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa na Mkandarasi Afcons Infrastructure Limited amba...

WATUMISHI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUONGEZA KASI KATIKA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI.

Naibu Waziri wa Maji Mhe.Mhandisi Kundo A.Mathew amewataka watumishi wa Sekta ya Maji kuongeza kasi katika kutoa huduma kwa jamii,kusimamia Miradi ya Maji na ku...