Habari
GEUWASA YASHIRIKI MKUTANO WA BODI ZA WAKURUGENZI NCHINI.
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi Bi. Patricia Sam Kampambe wameshiriki...
GEUWASA YAWAPA TABASAMU WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MBUGANI.
Watumishi wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbugani Kitengo c...
KUNDO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA.
Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo A. Mathew ametembelea na kukagua utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 kwa Mji wa Geita kutoka katika Chanzo cha Maji cha...
ZIARA YA KAMATI YA USALAMA WILAYA YA MBOGWE KWENYE MRADI WA MAJI MASUMBWE.
Kamati ya Usalama Wilaya ya Mbogwe ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambae ni Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Mhe. Sakina Mohamed, imetembelea Mradi wa Uboreshaji wa Hudum...
KAWAIDA ATEMBELEA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndg. Mohamed Kawaida ametembelea Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita. Ndg. Kawaida akiwa ameamb...
SALAMU ZA PONGEZI.
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa GEUWASA tunakupongeza Bi. Rose Zacharia Ambrose kwa kuaminiwa na kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta...
KIKAO CHA BODI KUU YA WAKURUGENZI ROBO YA PILI MWAKA WA FEDHA 2025/2026
Leo tarehe 06/02/2026 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bi. Patricia Sam Kampambe ameongoza kikao cha Bodi Kuu ya Wakurugenzi Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 202...
UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI KATORO – BUSERESERE
Wataalam wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wakiendelea na kazi ya kuboresha miundombinu ya Maji ili kuhakikisha huduma ya maji inakuw...

