Matangazo
JE WAJUA HASARA ZA KUTOKULIPA BILI ZA MAJI KWA WAKATI?
1. Mteja kusitishiwa huduma ya maji.
2. Mteja kulipa gharama za faini ya kurejeshewa
huduma iwapo huduma itasitishwa.
3.Mteja ataanza upya mchakato wa maombi ya
kuungiwa huduma endapo mtandao wa maji
utaondolewa.
4.Kukwamisha jitihada za Mamlaka kuboresha
huduma.

