emblem

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita
(GEUWASA)

Habari

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA MAJI.


Wataalam wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) wamekamilisha matengenezo ya bomba ya Inch 6 iliyokuwa imepata hitilafu eneo la sheli ya PetroAfrica. Kwasasa wakazi wa Stand,Tambukareli,EPZ na baadhi ya maeneo ya Magogo wanaendelea kufurahia huduma ya maji. #geuwasatunatekeleza