emblem

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita
(GEUWASA)

Habari

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA MAJI


Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) Mhandisi Frank Changawa pamoja na Wataalamu wa GEUWASA, wanafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha huduma ya Maji kwa wakazi wa Wigembya inaimarika na kuwa endelevu.