emblem

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita
(GEUWASA)

Habari

KIKAO CHA BODI KUU YA WAKURUGENZI ROBO YA PILI MWAKA WA FEDHA 2025/2026


Leo tarehe 06/02/2026 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bi. Patricia Sam Kampambe ameongoza kikao cha Bodi Kuu ya Wakurugenzi Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 Kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA).