emblem

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita
(GEUWASA)

Matangazo

Ofa ya Maunganisho Mapya


Utaratibu wa kurejeshewa huduma iliyositishwa

Ili kurejeshewa huduma ya maji kwa mteja aliesitishiwa huduma ya maji. Mambo yafuatayo yanatakiwa kuzingatiwa.

  1. Mteja atatakiwa kulipa 50% ya deni au deni lote pamoja na shilingi 10,000 ada ya kurejesha huduma.
  2. Mteja atawasilisha risiti za malipo aliyofanya katika ofisi huduma kwa wateja.
Afisa huduma kwa wateja ataandaa kibali cha kurudisha huduma na itarejeshwa mara moja